Teknolojia mpya ya uchenjuaji
Mhandisi migodi katika ndaki hiyo ya uhandisi chuoni hapo, Peter Kaheshi alisema hayo alipokuwa akizungumza na HabariLeo katika Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam kuhusu teknolojia hiyo. Kaheshi alisema katika mashine hiyo waliyoitengeneza, kemikali waliyoiweka haina athari kwa binadamu.
No comments:
Post a Comment