Friday, July 21, 2017

KUIMBA

WAJUMBE wa Mkutano wa 19 wa mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), wakiimba wimbo wa jumuiya hiyo wakati wa ufunguzi wa mkutano huo, Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment