CAF yavitupa nje vilabu vya Sudan Klabu Bingwa na Shirikisho
Vilabu vilivyotimuliwa ni pamoja na Al Merreikh iliyokuwa nafasi ya pili kundi A klabu Bingwa Afrika ikiwa na pointi saba ikiongozwa na Etoile du Sahel ya Tunisia. Timu nyingine ni Al Hilal Omdurman iliyo katika nafasi ya mwisho kundi A Klabu Bingwa Afrika ikiwa na pointi nne.
Timu nyingine ni Hilal El Obied Club iliyokuwa ikiongoza kundi C ikiwa na pointi 10 katika kombe la Shirikisho.
No comments:
Post a Comment