BREKING NEWS: HATIMAYE WANACHAMA WA SIMBA WAPITISHA MABADILIKO, MWANACHAMA MMOJA AKATAA SALEH 
Hatimaye kwa pamoja, wanachama wa klabu ya Simba, wamepitisha mabadiliko ya klabu yao huku mwanachama mmoja tu akikataa. Wanachama waliofanya mkutano kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, wamekubaliana sasa klabu hiyo imeingia katika mfumo wa endeshwiaji utakaohusishwa uuzaji wa hisa.
No comments:
Post a Comment