BREAKING: Polisi wamemkamata Zitto Kabwe Airport DSM millardayo.com / Millard Ayo / 45 minutes ago
Jioni ya leo September 20 2017 imetoka taarifa kwamba Mbunge wa Kigoma Mjini ambae pia ni kiongozi wa Chama cha ACT WAZALENDO Zitto Kabwe amekamatwa na Polisi. Taarifa hizo zimethibitishwa na ACT WAZALENDO ambao wamesema ni kweli Zitto amekamatwa akiwa uwanja wa ndege Dar es salaam akitokea Kigoma, kwa sasa Wanasheria wa chama wanafatilia kujua […]
No comments:
Post a Comment